Ni mashindando ya aina yake kuwahi kutokea ndani ya mkoa wa iringa, ykikutanisha wababe wa kusakata soka katika playstation. Mashindano hayo yalifanyika tar 02/10/2011 kuanzia saa sita mchana na kumalizika saa 12 jiona.
mashindano hayo yalishirikisha washiriki 16 wakicheza kuanzia hatua ya makundi. mchuano uliku mkali sani hadi kupatikana mshindi ...
More
HD GAME CENTER wanakuletea shindano kubwa la mpira wa miguu la playstation 2.
Moto utawaka kwa wachezaji wa playstation 2, kutakua na shindano kabambe la kumtafuta bingwa wa mkoa wa IRINGA wa mchezo wa soccer katika playstation 2.
kwa wale wote watakaopenda kuingia kwenye shindano fomu zinapatikana HD GAME CENTER kwa shilingi 5000/= tu.
mshindi ...
More